Header Ads

Zijue Faida 10 za Mti wa Mlonge

1. Mti wa Mlonge husaidia watu walioathilika kiongeza cd4 cell (white blood cell) ndani ya
mwili wa binadamu ambayo humsaidia mgonjwa kuondokana na miwasho katika damu na
kuupa mwili nguvu na kuongeza hamu ya kula
2. Mti wa Mlonge hutibu maradhi sugu kama vile Kisukali (Kuimalisha na kurekebisha
viwango ya sukari katika umri wa mwanadamu) , Pressure, malaria,  homa ya mara  kwa
mala,S aratani ya tumbo, hupunguza sonona stress, huleta hamu ya kunywa maji, jambo
amabalo ni adimu   kwa watu wengi pia huondoa uchovu mwili na kukufanya uwe na afya nzuli,
mchangamfu na  mwenye furaha
3. Majani na maua ya Moringa yanavirutubisho vingi kama vitamin A ( mara tatu zaidi
ya karoti), Vitamini C (mara tatu zaidi ya ile ya machungwa), calcium (mara 140 zaidi ya
ile  inayopatikana katika maziwa ya gombe) na Potasiamu. Mmea huu umetumika
kusadia   udhibiti wa matatanisho yanayoletwa na ugonjwa wa ukimwi
4. Faida nyingine  itokanayo na unga wa majani ya mti wa mlonge ni kusafishia maji ambayo
ni  machafu na kuweza kuwa safi na salama na kuwa tayari kwa matumizi yoyote ya
nyumbani  kama vile kupikia na kunywa hii inaweza kuwa ni mbadala ya madawa
mengine   yanayoweza kutibu maji kama vile watergard na   mengineyo.
5. Majani ya Mlonge yamepachikwa jina la chakula chenye viwango kwasababu
wanasayansi  waligundua yana kiasi cha madini ya Kalisium yanayoweza kupatiakana katika
glasi nne za maziwa, kiasi cha vitamini c   inayopatikana kwenye machungwa saba, Potasium
ya  kwenye ndizi mbivu tatu. Pia unapata kiasi cha madini   ya chuma mara nne zaidi.
6. Majani ya Mlonge yana Vitamin A nyingi kuliko karoti, vitamin C nyingi kuliko machungwa
na   madini ya  Potassium nyingi kuliko ndizi mbivu, halikadhalika ubora wa protini yake ni
bora   kushinda maziwa na mayai.
7   Kutokana na kuwa na kiasi kingi cha madini ya chuma (Iron), kasiamu (Calcium) na
vitamin   nyingi za aina  mbalimbali, majani ya mmea huu yamekuwa yakitumika kama ‘tonic’
kwa   watoto wadogo na vijana ili   kuimarisha mifupa na kusafisha mfumo wa damu mwilini.
8.     Majani pia huweza kupakwa mwilini katika kutibu majipu na maambukizi ya ngozi. Waweza kutumia majani kama unavyotumia mchaichai na hapo unatibu MALARIA
bila   kujua.......Majani ya    Mlonge yanaweza kutafunwa mabichi, yaliyochemshwa kama mboga au   yaliyokaushwa na kusagwa kuwa  unga.  Unga wake unaweza kuhifadhiwa kwa
miezi    kadhaa bila kupoteza ubora na faida zake za kiafya huku  ukitumia kama kiungo kwenye   mboga na mchuzi (zingatia usikaushe kwenye JUA)​Mafuta kutoka kwenye   mbegu
za    mti wa   Moringa huweza kutumika katika kupikia na kuwasha katika nyumba. Pia  hutumika   sana   kwenye viwanda katika utengenazaji wa sabuni na bidhaa za urembo.      
Mafuta     hukamuliwa kutoka kwenye  mbegu kama ambavyo alizeti hukamuliwa.
9.   Licha ya kuwa dawa nzuri sana ya kusafisha tumbo (Jaribu kutafuna mbegu zake tatu baada ya
kumenya  huku ukinywa maji mengi sana na kuhakikisha upo jirani na choo) Mbegu za mti wa Moringa ni kinga dhidi ya   vijidudu (bacteria) wasababishao magonjwa na kuathiri ngozi.
Pia mbegu hutuminka katika kusafisha au kuchuja maji ambapo zikipondwa na kuwekwa
10. Mmea wa Mlonge ndio mmea ulio na kiwango kikubwa cha virutubisho vyenye manufaa kwa             mwili wa binadamu na mifugo. Una virutubisho zaidi ya 90 na unaweza kutumiwa na watu wa  umri wote Hakuna Madhara yoyote ya kutumia Mlonge ambayo yamethibitishwa na wataalamu

15 comments:

  1. asangte sana kwa elimu nzuri juu ya mlonge pia nimekua nikifuatilia mafundisho
    juu ya mti huu nimepata faida kubwa sana kwa kunywa juice ya mlonge kwani ni juice ambayo kwanza inafanya mwili kuwa confortable sana inaondoa uchovu pia na kuumwa umwa ovyo ni hakuna kama ilivokua kila mwezi kuumwa mafua homa za hapa na pale kwangu imefutika na mengine mengi kwa ujumla nashkuru

    ReplyDelete
    Replies
    1. Juice yake unatumia majani au mbegu

      Delete
    2. Mimi ndio nimeanza kutumia, naona iko poa Sana, maana nimeanza kuharisha vitu vya ajabu, Ila mwili upo comfortable

      Delete
  2. je, mafuta ya mlonge yanaweza ondoa tatizo la genital warts sehemu za siri?

    ReplyDelete
    Replies
    1. Mafuta naweza kuyapataje ya mlonge? Pia nisaidieni juice yake

      Delete
    2. Kwa mafuta karibu 0682911758 dar es salaam

      Delete
  3. Naitaji mafuta hayo yamoringa nitayapataje?? +255747544835

    ReplyDelete
  4. Mim nakula mbegu zake saana je zinakazi sawa na majani na mizizi ama najichosha

    ReplyDelete
  5. Mizizi yake inasaidia kwa kutafuna?

    ReplyDelete

Powered by Blogger.